Browsing Category
AFCON
Kikosi cha Ivory Coast Afcon 2022 Cameroon
Kocha wa kikosi cha timu ya taifa ya Ivory Coast Patrice Beaumelle ametaja majina ambayo yanaunda kikosi cha timu hiyo kuelekea fainali ya Kombe la Mataifa Bingwa Afrika AFCON 2022.
Majina ambayo yanaunda kikosi hicho ni pamoja na jina…
AFCON Countdown: Cameroon Name a 40-Man Provisional Squad
The five-time winners open their campaign against Burkina Faso at the Olembe Stadium, Yaounde on January 9,2022.
Ethiopia Opt for Orlando Stadium After Snubbing Kenya’s Nyayo Stadium for Ghana Tie
Ethiopia have once again dropped their decision to host Ghana in the 2022 Fifa World Cup qualifiers at the Nyayo National Stadium and will now play the Black Stars at the Orlando Sports Stadium in Johannesburg,on November 11.
The…
Droo ya Kinyang’anyiro cha AFCON 2022 kufanywa Yaounde
Droo ya king'anyiro kilichopangwa upya cha Kombe la Mataifa ya Afrika 2022 nchini Cameroon itafanywa mjini Yaounde Agosti 17. Mashindano hayo awali yalitarajiwa kuandaliwa Juni 25 katika mji mkuu wa Cameroon lakini yakaahirishwa kwa sababu…
Kocha wa Afrika Kusini Ntseki ajitetea kutofuzu Afcon 2022
Kocha wa Afrika Kusini Molefi Ntseki amesema wanatambua maumivu wanayoyapata wananchi hasa wapenzi wa kandanda wa taifa hilo kufuatia kuondolewa kwenye nafasi ya kufuzu kuingia fainali za Kombe la Mataifa Bingwa Afrika Afcon 2022 nchini…
Benin yagoma kucheza dhidi ya Sierra Leone baada ya wachezaji kukutwa na Covid-19
Timu 23 tayari zimefuzu kuingia hatua ya fainali ya Kombe la Mataifa Bingwa Afrika Afcon 2022 nchini Cameroon, bado timu moja pekee ambayo itaamuliwa kati ya taifa la Sierra Leone na Benin mchezo ambao mpaka sasa haujachezwa kufuatia Benin…
Harambee Stars waondoka katika mbio za kuwania kufuzu Afcon kwa ushindi wa 2-1 ugenini dhidi ya Togo
Harambee Stars wamemaliza kampeni yao ya kuingia kwenye michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) kwa heshima baada ya kuwalaza Togo 2-1 na kumaliza katika nafasi ya tatu kwenye Kundi G.
Mechi ya Jumatatu, Machi 29, ndiyo ilikuwa ya…
Malawi yamzuia kigogo wa Afrika Mashariki Uganda kufuzu Afcon 2021
Timu ya Taifa ya Uganda imetupwa nje ya kuwania nafasi ya kufuzu kuingia Kombe la Mataifa Bingwa Afrika Afcon 2021 Cameroon baada ya kukubali kipigo cha goli 1-0 dhidi ya Malawi mtanange uliopigwa leo Jumatatu Machi 29 Jijini…
Kocha Saintfiet alamba mkataba mnono baada ya kuipeleka Gambia Afcon 2021
Baada ya kukiongoza kikosi cha timu ya taifa ya Gambia kufuzu Kombe la Mataifa Bingwa Afrika - Afcon 2021, kocha mkuu wa kikosi hicho Tom Saintfiet ameongezewa mkataba mpya wa miaka mitano kuanzia sasa ambapo kandarasi yake itamalizika…
Amavubi Stars watafuta tiketi ya kucheza Afcon 2022 kwa kuvaana na wenyeji Cameroon
Timu ya taifa ya Rwanda, Amavubi Stars inasaka tikiti ya kufuzu kwenye michuano ya Afcon 2022. Kesho Jumanne ina mtihani dhidi ya Simba wanyika Cameroon mjini Duala. Ni mchuano unaosubiriwa na wengi kujua hatma ya Timu ya Rwanda kama …