Browsing Category
EPL
Maguire Ataendelea Kuwa Nahodha Man United – Ten Hag
Mkufunzi wa Manchester United Erik ten Hag amethibitisha kuwa mlinzi wa kati wa England Harry Maguire ataendelea kuvalia kitambaa cha unahodha kwenye mechi za mashindano za msimu ujao.
Kauli ya Ten Hag ambaye ni raia wa Uholanzi inakuja…
Ronaldo “HAUZWI” – Ten Hag
Kocha wa Manchester United Erik ten Hag amesema staa wa kimataifa wa Ureno Cristiano Ronaldo hauzwi kwani bado ana mpango wa kumtumia kwenye msimu ujao wa mashindano.
Ronaldo mwenye umri wa miaka 37 amekuwa midomoni mwa vyombo vya habari…
Kante, Loftus-Cheek Washindwa Kusafiri na Chelsea
Kiungo mkabaji wa Kifaransa N'Golo Kante pamoja na Ruben Loftus-Cheek wameshindwa kusafiri na timu ya Chelsea kuelekea Marekani kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao kufuatia hali ya vipimo vyao wa Corona.
The Blues inaelezwa imefika…
Gomez Ajifunga Liverpool Mpaka 2027
Kiraka wa kimataifa wa England na Liverpool Joe Gomez amejifunga kuendelea kukitumikia kikosi hicho kwa kuingia mkataba mpya na majogoo muda mrefu wa miaka mitano.
Gomez mwenye umri wa miaka 25 alijiunga na Liverpool mwaka 2015 akitokea…
Sterling, Chelsea Wakubaliana kuhusu uhamisho
Winga wa England na Manchester City Raheem Sterling amekubaliana mambo binafsi na klabu ya Chelsea kwa ajili ya kusajiliwa kuelekea msimu ujao.
Winga huyo mwenye umri wa miaka 27, amebakiwa na mwaka mmoja kwenye mkataba wake na…
Man United Wamsajili Malacia Kutoka Feyenoord
Manchester United imekamilisha uhamisho wa beki Tyrell Malacia akitokea Feyenoord kwa kandarasi ya miaka minne ambapo mkataba huo utafikia tamati mwaka 2026.
Malacia raia wa Uholanzi mwenye umri wa miaka 22 anajiunga na mashetani wekundu…
Jesus Atambulishwa Arenal
Arsenal wamemsajili mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil na Manchester City Gabriel Jesus kwa mkataba wa muda mrefu.
Kitita cha pauni milioni 45 kimetumika kukamilisha uhamisho huo kwa kijana wa miaka 25 baada ya kuamua kutimka Etihad na…
Ronaldo Ataka Kuuzwa Man United
Staa wa Ureno Cristiano Ronaldo ameomba kuondoka Manchester United endapo klabu hiyo itapokea ofa nzuri kwenye kipindi hiki cha dirisha kubwa la usajili.
Maombi ya Ronaldo yanajiri licha ya kocha wa sasa wa timu hiyo Erik ten Hag…
Sterling Karibuni Kutua Chelsea, Ziyech Kutimkia AC Milan
Mabadiliko yanaendelea kufanyika katika uongozi wa juu wa klabu ya Chelsea. Ni ngumu kuyazoea kama mtu atakuwa amejikita kwenye mazoea ya nafasi moja lakini kwa kocha Thomas Tuchel ameyakubali mabadiliko na yuko tayari kufanya kazi na…
Salah Amwaga Wino Liverpool 2025
Mohamed Salah ameongeza kandarasi ya miaka mitatu ya kuendelea kukitumikia kikosi cha Liverpool.
Mkataba wa Salah umekubalika baada ya mvutano wa muda kiasi ambapo sasa atakuwa analipwa pauni 350,000 kwa wiki na kuwa mchezaji wa kwanza…