Browsing Category
KPL
Wazito FC Kuikabili Posta Rangers FKFPL
Ligi Kuu nchini Kenya FKFPL inaendelea Leo Jumamosi ambapo Posta Rangers watakuwa nyumbani kuwakaribisha Wazito FC mchezo ambao utapigwa dimba la Thika.
Timu hizo mbili zimekuwa kwenye matokeo yasiyoridhisha ambapo Posta Rangers…
Aussems wa AFC Leopards Aondoka Kenya Kabla Ligi Haijamalizika
Pamoja na kwamba mechi mbili zimesalia kubala ya kumalizika kwa kandanda ya Ligi Kuu nchini Kenya FKFPL, kocha wa kikosi cha AFC Leopards Patrick Aussems ameondoka nchini humo kuelekea kwao kwa ajili ya kuanza mapumziko.
Mchezo wa mwisho…
Gor Mahia Yashinda 3-2 kwa City Stars
Gor Mahia imefanikiwa kutokea nyuma na kuibuka na ushindi wa bao 3-2 dhidi ya Nairobi City Stars katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Kenya FKFPL mtanange uliopigwa dimba la Kasarani Leo Jumapili.
City Stars walianza kupata uongozi wa mapema…
Homeboyz Waweka Ubingwa Rehani, wachapwa 2-0 na AFC Leopards
Kakamega Homeboyz wameendelea kupoteza nafasi ya kutwaa taji la Ligi Kuu nchini Kenya FKFPL baada ya Leo Jumapili Mei 29, kupoteza bao 2-0 dhidi ya AFC Leopards mchezo uliopigwa dimba la Bukhungu mjini Kakamega.
Homeboyz walihitaji…
Homeboyz Hatima ya Ubingwa Mkononi mwa Leopards
Wakati homa ya pambano baina ya Kakamega Homeboyz na AFC Leopards ambalo linatarajiwa kuchezwa Jumapili hii ikiendelea kupanda, wachezaji wawili wa Homeboyz Moses Mudavadi na Mike Isabwa wamesema mchezo huo utakuwa na hatima ya ubingwa…
Tusker FC Wabanwa na Nzoia Sugar KPL
Ligi Kuu nchini Kenya imefikia patamu kwenye mbio za kuwania ubingwa ambapo Tusker FC wamevutwa shati na Nzoia Sugar kwa sare ya bao 2-2 mchezo uliopigwa Jumapili dimba la Ruaraka.
Nzoia Sugar wameizuia Tusker kwenda karibu kabisa na…
Homeboyz Watoa Sare na Gor Mahia
Kakamega Homeboyz wamelazimisha sare ya bao 1-1 na Gor Mahia katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Kenya mtanange uliopigwa Leo Jumamosi dimba la Kasarani Jijini Nairobi.
Mabao kwenye mechi hiyo yamefungwa na Samuel Onyango ambaye alikuwa wa…
Gor Mahia Kuwavaa Homeboyz Dimba la Kasarani
Kifungo cha takribani miezi mitatu ya kutotumia uwanja wa nyumbani kwa klabu ya Gor Mahia kimemalizika na sasa timu hiyo imeruhusiwa kuendelea kutumia uwanja huo.
Gor Mahia ambao ni mabingwa mara 19 wa Ligi Kuu nchini Kenya walizuiwa…
Kakamega Homeboyz Yaibutua KCB 2-1
Vinara wa Ligi Kuu nchini Kenya FKFPL Kakamega Homeboyz wamerudi kwenye njia za ushindi baada ya kufunga bao 2-1 dhidi ya timu inayopambania nafasi ya kusalia kwenye Ligi KCB, mchezo uliochezwa Leo Jumapili katika uwanja wa Bukhungu mjini…
Mchezo wa Gor Mahia, Talanta FC Waota Mbawa
Mchezo wa Ligi Kuu nchini Kenya baina ya waliokuwa wenyeji Talanta FC na mabingwa mara 19 wa Ligi Kuu nchini Kenya FKFPL Gor Mahia umeahirishwa kufuatia wageni wa mchezo huo kuomba kubadilisha uwanja wa kuchezea mchezo huo wakidai kuwa…