Browsing Category
TPL
Yanga yapanga ujenzi wa uwanja Kigamboni
Senzo Masingiza Mbatha, Kaimu Mtendaji Mkuu wa Timu ya Wananchi Yanga ameweka wazi kuwa mradi wao wa ujenzi wa Uwanja ambao unafahamika kwa jina la Kigamboni Complex ‘Home of Champions’ tayari umeshawapata wakandarasi ambao wataanza kazi…
Bye Bye Azam, Sure Boy
Azam FC imemuaga kiungo wake Salum Abubakary ‘Sure Boy’, baada ya kuthibitisha kusitisha mkataba wake Jana Jumanne Disemba 21, 2021.
Azam Fc imemuaga kiungo huyo anayetajwa kujiunga na Young Africans katika kipindi hiki cha Dirisha Dogo…
Michango ya Wanasimba Yaridhisha – Try Again
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Salum Abdallah 'Try Again" amesema zoezi la wanachama kuchangia fedha za ujenzi wa Uwanja wa klabu hiyo linaendelea vizuri.
Akizungumza Leo Jumanne Jijini Dar es Salaam, Abdallah maarufu kama…
Morris, Mudathir Yahya wakubali, Sure Boy aigomea Azam FC
Azam FC imetoa msamaha kwa wachezaji wake watatu ambao walikuwa wamefungiwa kutokana na kile ambacho walikisema ni utovu wa nidhamu kwa wachezaji hao lakini mchezaji mmoja amesema hapana.
Wachezaji ambao walifungiwa kwa zaidi ya wiki nne…
Yanga yaifumua Tanzania Prisons 2-1
Vinara wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara klabu ya Yanga imeibuka na ushindi wa goli 2-1 dhidi ya wenyeji Tanzania Prisons kwenye mtanange uliopigwa dimba la Nelson Mandela mjini Sumbawanga mkoani Rukwa.
Ushindi huo wameupata Leo Jumapili…
Yanga, Prisons zatambiana
Kikosi cha Yanga kinashuka dimbani Leo Jumapili Disemba 19, 2021 kumenyana na wenyeji Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara mtanange utakaopigwa uwanja wa Nelson Mandela Sumbawanga mkoani Rukwa.
Yanga ambayo…
Azam yabanwa na Mbeya City
Azam FC imeshindwa kutumia faida ya kuwa nyumbani mbele ya mashabiki wake na kuibuka na ushindi katika mechi dhidi ya Mbeya City ya Ligi Kuu Tanzania Bara.
Katika mchezo huo uliopigwa dimba la Azam Complex Jijini Dar es Salaam Leo…
Simba yataka uwanja wake, mchango wapitishwa
Ile kauli inayosema kuwa upatapo shida ndipo ujulikanapo mlango wa kutokea, basi usemi huu unasadifu vyema kunako viunga vya Msimbazi Kariakoo baada ya klabu ya Simba kupitia Murtaza Mangungu ambaye ni Mwenyekiti wa klabu hiyo kusema…
Simba kitete bila Morrison, Bwalya Kagera
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara klabu ya Simba imesafiri na kutua salama mpaka mji wenye sukari yake, Kagera huku kitete kikiwa kinapanda na kushuka baada ya taarifa ya madaktari kusema kuwa uwezekano wa mtukutu Bernand…
Yanga yapata hofu kuivaa Tanzania Prisons
Baada ya mchezo wa Kombe la Shirikisho Tanzania maarufu kama ASFC baina ya Yanga na Ihefu, klabu hiyo imetoa taarifa kuwa itakosa huduma ya wachezaji wanne kuelekea mtanange wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Tanzania Prisons.
Yanga…