Browsing Category
TPL
Morrison ashinda tuzo Simba
Kiungo mshambuliaji, Bernard Morrison amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mashabiki wa mwezi Novemba (Emirate Aluminium ACP Simba Fans Player of the Month).
Morrison raia wa Ghana amewashinda mshambuliaji Medie Kagere na kiungo Jonas…
Simba yaichapa Geita Gold Ligi Kuu
Simba SC imeibuka kidedea mbele ya Geita Gold kwa kuvuna alama tatu na goli 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara mtanange uliopigwa dimba la Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam Disemba Mosi.
Mabao ya Simba Sc ambayo ilikuwa…
Yanga yaichapa Mbeya Kwanza NBC Ligi
Yanga imeibuka na ushindi wa goli 2-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara dhidi ya Mbeya Kwanza katika mtanange uliopigwa dimba la Kumbukumbu ya Sokoine Jijini Mbeya Leo Jumanne Novemba 30.
Yanga ambayo mchezo uliopita…
Aucho pasua kichwa, Yanga kuivaa Mbeya Kwanza
Wakati klabu ya Yanga ikijiandaa kuikabili Mbeya Kwanza katika mchezo wa raundi ya kwanza ya Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Timu ya Wananchi imeingiwa ubaridi baada ya kuwepo kwa taarifa kuwa kiungo mchezeshaji kutokea Uganda Khalid Aucho…
Nabi aingia mchecheto kuivaa Mbeya Kwanza
Kocha mkuu wa Timu ya Wananchi Yanga Nesreddine Mohammed Nabi, amesema wachezaji wake wako katika hali nzuri kuelekea mchezo wa mzunguko wa saba wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara dhidi ya Mbeya Kwanza FC.
Nabi ametangaza hali ya wachezaji…
Namungo yachabangwa 3-1 na Tanzania Prisons
Kikosi cha Tanzania Prisons kimeibuka na ushindi wa goli 3-1 dhidi ya Namungo katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara mtanange uliopigwa dimba la Nelson Mandela, Sumbawanga mkoani Rukwa.
Katika ushindi wa Tanzania Prison, Jeremiah…
Dewji atamba kufanya usajili mkubwa Simba
Siku nne tangia klabu ya Simba kufanya maamuzi ya kujaza nafasi iliyoachwa wazi kufuatia kifo cha Zacharia Hans Poppe aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili wa Simba, Mwenyekiti mpya Kassim Dewji amesema ataongeza wataalam wawili wa…
Simba yaiva kuwavaa Red Arrows ya Zambia
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara klabu ya Simba imesema inaendelea vyema na maandalizi ya mchezo wa Kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi ya Red Arrows ya Zambia mchezo utakaopigwa dimba la Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam…
TFF yaramba dili nono kutoka GSM
Shirikisho la Kandanda Tanzania TFF limeingia kwenye mkataba wa miaka miwili na Kampuni ya GSM Group, mkataba wenye thamani ya bilioni 2.1 kwa ajili ya kuidhamini Ligi Kuu Tanzania Bara.
GSM Group ameingia kwenye huo mkataba kama…
Morrison ashinda kesi CAS
Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo ‘CAS’ imetangaza hukumu ya Kesi iliyofunguliwa na klabu ya Young Africans mwaka mmoja uliopita dhidi ya Kiungo mshambuliaji kutoka nchini Ghana Bernard Morrison.
Majibu ya hukumu ya Kesi hiyo iliyochukua…