Browsing Category
Africa
Simba Watua Morocco, Yawafuata Raja Casablanca
Kundi la kwanza la kikosi cha Simba wamefanikiwa kufika salama Rabat, Morocco kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa mwisho hatua ya makundi na Raja Casablanca utakaochezwa mwishoni mwa wiki hii.
Wachezaji ambao wameondoka kwenda huko ni…
Gambia Wataka Kushiriki Kombe la Dunia 2026
Rais wa Shirikisho la Kandanda nchini Gambia (GFF) Lamin Kaba Bajo, ameweka wazi kuwa matamanio yao ni kuona timu ya taifa hilo inafuzu kucheza michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2026.
Bajo ametoa kauli hiyo baada ya timu ya taifa hilo…
Uganda Yaichapa Tanzania Kwa Mkapa Kufuzu AFCON 2023
Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars imefungwa bao 1-0 dhidi ya timu ya taifa ya Uganda katika mchezo wa kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa Bingwa Afrika AFCON nchini Ivory Coast.
Matokeo hayo ya ushindi yanaisogeza Uganda mpaka…
Stars Kushuka Dimbani Kuivaa Uganda Kufuzu AFCON
Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars inashuka dimbani Leo Jumanne kucheza na timu ya taifa ya Uganda, The Cranes katika mchezo wa kuwania kufuzu kucheza fainali za Kombe la Mataifa Bingwa Afrika AFCON ukiwa ni mchezo wa nne hatua ya…
Mashabiki Kuingia Bure Uwanjani Mzunguko
Mashabiki wataruhusiwa kuingia bure kwenye eneo lote la mzunguko katika mchezo wa Kundi F kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) dhidi ya Uganda Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Taarifa za kuingia bure…
Wadau Wahamasishwa Zaidi Kununua Tiketi Kuitazama Taifa Stars
Wadau wa kabumbu nchini wameendelea kununua tiketi kwa ajili ya mashabiki watakaoingia kuutazama mchezo wa kuwania kufuzu kucheza fainali za Kombe la Mataifa Bingwa Afrika AFCON 2023 nchini Ivory Coast dhidi ya Uganda.
Tiketi ambazo…
Kikosi Cha Kenya Kuikabili Iran mechi ya Kirafiki
Kocha Mkuu wa kikosi cha timu ya taifa ya Kenya Harambee Stars, Engin Firat ametaja majina ya wachezaji 24 watakaounda kikosi kitakachokuwa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Iran utakaopigwa Jumanne ya wiki ijayo.
Kwenye kikosi hicho,…
Msuva Aichapa Uganda Kufuzu AFCON 2023
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Saimon Msuva ameipa ushindi timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars kwa kufunga bao pekee kwenye mchezo wa tatu kuwania kufuzu kucheza fainali za Kombe la Mataifa Bingwa Afrika AFCON nchini Ivory Coast…
Mayele Atamba Afrika
Fowadi wa Yanga Fiston Kalala Mayele ametangazwa na Shirikisho la soka nchini kuwa mshindi wa bao bora. Bao lake dhidi ya US Monastir katika uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam lilipigiwa kura kuwa bao bora la msimu.
Kwenye…
Ronaldo Aweka Rekodi Kibao Duniani, Atupia Mbili Mbele ya Liechtenstein
Cristiano Ronaldo amefikisha mechi 197 ngazi ya timu ya taifa na kuwa mchezaji wa kwanza kufikia rekodi hiyo kwani awali ilikuwa inashikiliwa na Bader Al-Mutawa wa Kuwait ambaye alikuwa amecheza mechi 196.
Hata hivyo, Ronaldo kucheza leo…