logo

  • Home
  • PREMIER LEAGUE
    • News
    • Standings
    • Fixtures
    • Results
  • BUNDESLIGA
    • News
    • Standings
    • Fixtures
    • Results
  • LA LIGA
    • News
    • Standings
    • Fixtures
    • Results
  • LIGUE 1
    • News
    • Standings
    • Fixtures
    • Results
  • UEFA
    • Champions League
      • News
      • Standings
      • Fixtures
      • Results
    • Europa League
      • News
      • Standings
      • Fixtures
      • Results
  • Africa
    • KPL
      • News
      • Standings
      • Fixtures
      • Results
    • TPL
      • News
      • Standings
      • Fixtures
      • Results
  • SERIE A
    • News
    • Standings
    • Fixtures
    • Results
  • Contact
  • Home
  • Africa

Aliyekuwa kocha wa Simba Sven Vandenbroeck atua Morocco ndani ya FAR Rabat

  • Asifiwe Mbembela
  • 9 Jan 2021
  • Africa

KOCHA Sven Vandenbroeck amejiunga rasmi na klabu ya F.A.R Rabat ya nchini Morocco baada ya kubwaga manyanga ndani ya Klabu ya Simba ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Kocha huyo amesaini dili la miaka miwili kuifundisha timu hiyo baada ya kupata dili nono lililomfanya asepe ndani ya Simba.   Vandenbroeck alijiunga na

Continue Reading →

Yanga yatinga hatua ya mtoano Kombe la Mapinduzi kwa kuichapa Namungo 1 – 0

  • Asifiwe Mbembela
  • 9 Jan 2021
  • Africa

Kikosi cha Yanga kimeibuka kidedea dhidi ya Namungo FC kwenye mchezo wa Kombe la Mapinduzi hatua ya makundi kwa ushindi wa goli 1-0 mtanange uliopigwa dimba la Amaan Zanzibar. Goli pekee la Yanga lilifungwa na kiungo mkabaji Zawadi Mauya akimalizia pasi ya Haruna Niyonzima katika mpira wa kutengwa kunako dakika 20. Ushindi huo ni wa

Continue Reading →

Simba yaiadhibu Chipukizi 3 – 1 Kombe la Mapinduzi visiwani Zanzibar

  • Asifiwe Mbembela
  • 8 Jan 2021
  • Africa

Kikosi cha Simba kilicho chini ya Kaimu Kocha Mkuu, Seleman Matola kimeanza kwa ushindi kwenye mchezo wa kwanza wa ufunguzi wa Kombe la Mapinduzi hatua ya makundi Simba imeshinda mabao 3-1 mbele ya Chipukizi ambayo imefungasha virago jumla kwenye mashindano hayo kwa kuwa imepoteza mechi mbili mfululizo baada ya ile ya awali kupoteza mbele ya

Continue Reading →

Namungo yawasili Tanzania salama kutokea Sudan katika Kombe la Shirikisho

  • Asifiwe Mbembela
  • 6 Jan 2021
  • Africa

Namungo FC imewasili salama leo Jumatano Jijini Dar es Salaam ikitokea Khartoum Sudan ambako ilikuwa na mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Hilal Obeid mkondo wa pili. Jana Januari 5, Namungo ilikuwa na mchezo wa Kombe la Shirikisho wa marudio dhidi ya Al Hilal Obeid ambapo mtanange ulimalizika kwa sare ya kufungana

Continue Reading →

Mabingwa Simba wawafurusha FC Platinum Ligi ya Mabingwa Afrika

  • Asifiwe Mbembela
  • 6 Jan 2021
  • Africa

Mabingwa wa Ligi Kuu nchini Tanzania VPL klabu ya Simba imetinga hatua ya makundi katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuitoa FC Platinum kwa matokeo ya jumla ya 4-1. Mechi ya mkondo wa kwanza ilimalizika kwa Platinum kushinda goli 1-0 goli la Perfect Chikwende, na mkondo wa pili Simba imeshinda 4-0 magoli

Continue Reading →

Yanga yachechemea Kombe la Mapinduzi, yaanza na sare mbele ya Jamhuri

  • Asifiwe Mbembela
  • 5 Jan 2021
  • Africa

Yanga imetoshana nguvu na kikosi cha Jamhuri FC katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi hatua ya makundi mtanange uliopigwa dimba la Amaan Zanzibar kwa sare ya 0-0. Mlinda mlango namba moja wa Jamhuri, Nasoro Twaliba alikuwa na kazi ya kuokoa mashuti ya Wazir Junior ambaye alikosa utulivu kipindi cha kwanza pamoja na Yacouba Sogne ambaye

Continue Reading →

Mtibwa Sugar yaanza vyema kutetea Kombe la Mapinduzi Zanzibar, yashinda 1-0 mbele ya Chipukizi

  • Bruce Amani
  • 5 Jan 2021
  • Africa

Mtibwa Sugar ambao ni mabingwa watetezi wa Mapinduzi wameanza vyema kutetea kombe hilo baada ya kupata alama tatu katika mchezo wa hatua ya makundi kwa ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Chipukizi mtanange uliopigwa dimba la Amaan Zanzibar. Mtibwa Sugar walianza kwa kasi kipindi cha kwanza ila mambo yalikuwa magumu kwao kupata nafasi ya kufunga

Continue Reading →

Bwalya aliyekuwa anahusishwa kutua Simba atua Al Ahly ya Misri

  • Bruce Amani
  • 1 Jan 2021
  • Africa

Strika matata Walter Bwalya amejiunga na miamba ya soka la Afrika kutokea Misri, Al Ahly baada ya kuwa kwenye mwendelezo mzuri wa kuzifumania nyavu katika klabu ya El Gouna ya hapo hapo Misri. Bwalya ambaye awali alikuwa anachezea klabu ya Nkana FC ya Zambia amefanikiwa kutua Ahly baada ya dili la awali la klabu hiyo

Continue Reading →

Simba yatua nyumbani salama, mahesabu makali kwa Maji Maji Kombe la FA

  • Asifiwe Mbembela
  • 26 Dec 2020
  • Africa

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu nchini Tanzania klabu ya Simba wametua salama katika ardhi ya Tanzania kutokea Harare Zimbabwe walikokuwa na mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya FC Platinum mtanange uliopigwa dimba la National Sports na wageni Simba kuangukia pua kwa goli 1-0. Wakati Simba wakifika Dar es Salaam, tayari watakabiliwa na kibarua

Continue Reading →

Simba waanza vibaya dhidi ya FC Platinum, wachapwa 1-0 ugenini

  • Asifiwe Mbembela
  • 23 Dec 2020
  • Africa

Wawakilishi wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2020/21, Simba SC leo wameanza kwa kukubali kichapo cha goli 1-0 mbele ya FC Platinum kwenye mchezo wa hatua ya kwanza uliochezwa Uwanja wa Taifa wa Zimbabwe. Simba ambayo inanolewa na Kocha, Sven Vandenbroeck ilishuhudia bao hilo pekee likifungwa na Perfect Chikwende dakika ya 17

Continue Reading →

  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • Next
  • »

Latest Results

  • EPL
  • La Liga
  • Bundesliga
January 23, 2021
Aston Villa2 - 0Newcastle United
January 21, 2021
Liverpool0 - 1Burnley
January 20, 2021
Fulham1 - 2Manchester United
Manchester City2 - 0Aston Villa
January 19, 2021
Leicester City2 - 0Chelsea
January 23, 2021
Deportivo Alavés1 - 4Real Madrid
Real Sociedad2 - 2Real Betis
Sevilla3 - 0Cádiz
Huesca0 - 0Villarreal
January 22, 2021
Levante2 - 2Real Valladolid
January 23, 2021
Hertha BSC1 - 4Werder Bremen
Arminia Bielefeld1 - 5Eintracht Frankfurt
Augsburg 19072 - 1Union Berlin
1. FSV Mainz 053 - 2RB Leipzig
SC Freiburg2 - 1Stuttgart

Youtube Videos

Prev 1 of 34 Next
  • MAKAO MAKUU YA MAHANGAIKO

    MAKAO MAKUU YA MAHANGAIKO

    MIJI YA MADHILA
  • KARAKANA YA MAUTI

    KARAKANA YA MAUTI

Prev 1 of 34 Next

Gallery

Uganda Cranes wapoteza 2-1 mbele ya Togo mchezo wa CHAN

Simba kumtangaza mrithi wa kocha Sven Vandenbroeck karibuni

Je, uongozi wa kocha Zinedine Zidane umefikia ukomo Real Madrid?

Mkude achutama Simba, aomba radhi ataka yaishe

Wakati dirisha dogo la usajili likifungwa leo Ijumaa, Yanga yafanya usajili wa mwisho kimataifa

Kocha wa PSG Pochettino akutwa na maambukizi ya Covid-19

Sintofahamu ya tamasha la Olimpiki Japan kutokana na janga la corona

Kocha Sven Vandenbroeck afutwa kazi Simba

  • Popular
  • Blogs
  • Comments

Tetesi za Mastaa Ulaya: Tottenham huenda ikamrudisha Eriksen, Bale moja kwa moja, Trent Arnold wa Liverpool kuwa nje wiki nne.

8:11 pm 10 Nov 2020

Masaibu yaendelea kuwaandama Gor Mahia, wapoteza mbele ya APR 2-1.

8:59 am 29 Nov 2020

Bayern Munich yagawana pointi na RB Leipzig katika mechi ya kusisimua ya mabao sita.

11:19 pm 05 Dec 2020

Taddeo Lwanga ajumuishwa kwenye kikosi cha Simba kuelekea Zimbabwe kuwakabili FC Platinum.

12:45 pm 20 Dec 2020

Wenger atunukiwa tuzo na Weah.

1:40 pm 25 Nov 2013

Mane, Mahrez ndani ya kikosi bora cha Afcon 2019.

8:52 am 20 Jul 2019

Tetesi za Mastaa Ulaya: Kocha Brendan Rodgers atajwa kurithi mikoba ya Frank Lampard Chelsea.

9:56 am 24 Jan 2021

Benzema afunga mawili wakati Hazard akitamba katika ushindi wa Real Madrid.

11:11 pm 23 Jan 2021

Vinara AC Milan waduwazwa na Atalanta, wazabwa 3-0 nyumbani San Siro.

11:08 pm 23 Jan 2021

RB Leipzig na Bayer Leverkusen zapoteza na kuwapa Bayern Munich faida ya mbio za ubingwa.

11:03 pm 23 Jan 2021

Taifa Stars yaiondoa Namibia kwenye mashindano ya CHAN kwa kuifunga 1-0.

10:26 pm 23 Jan 2021

Mabingwa watetezi Arsenal waondoshwa nje Kombe la FA na Southampton.

10:20 pm 23 Jan 2021
© 2018 - Amani News l All Rights Reserved.
Designed By Peakt Solutions