KOCHA Sven Vandenbroeck amejiunga rasmi na klabu ya F.A.R Rabat ya nchini Morocco baada ya kubwaga manyanga ndani ya Klabu ya Simba ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Kocha huyo amesaini dili la miaka miwili kuifundisha timu hiyo baada ya kupata dili nono lililomfanya asepe ndani ya Simba. Vandenbroeck alijiunga na
